Wapiga kura wachache wajitokeza katika uchaguzi wa marudio Kenya
Maafisa wafunga sanduku ya kuweka kura mjini Bamburi, Kenya, Oct 26, 2017
Maafisa wa usalama nje ya kituo cha Kinyanjui Nairobi bila ya wapiga kura
wapiga kura wachache wajitokeaza kwenye kituo cha kupiga kura Bamburi, Kenya )ct, 26 2017
Mpiga kura akihakikisha kitambulisho chake Bamburi, Mombasa Oct 26, 2017
Kenya: Afisa wa uchaguzi akagua kitambulisho cha mpiga kura
Maafisa wa uchaguzi wakagua daftaryi ya wapiga kura
Mkuu wa kituo cha kupiga kura aonesha sanduku tupu ya kuweka kura
Mpiga kura mmoja akipiga kura yake katika kituo cha Kinyanjui Nairobi
Wapiga kura wasubiri kupiga kura zao katika shule ya Kinyanjui, Nairobi Kenya