Jeshi la Congo lajaribu kuwaondowa waasi wa Mai Mai kutoka msitu wa Virunga
wanajeshi wa FRDC watayarisha kufyetua mzinga kuelekea kambi ya waasi Virunga
Afisa wa mawasiliano wa jeshi la Congo kwenye uwanja wa mapambano msitu wa Virunga
Maafisa wa jeshi la Congo wakizungumza na raia wa Nyamilima
wanajeshi wa FRDC kwenye mstari wa mbele katika vita dhidi ya Mai Mai
Wanajeshi wa DRC wateketeza kambi za wapiganaji wa Mai Mai
Mwanajeshi wa Congo akibeba mzinga msitu wa Virunga
Wanajeshi wa FRDC wakiwa katika kambi yao wakati wa mapigano na Mai Mai msitu wa Virunga
Wanajeshi wa FRDC wakiangalia upande wa pili wa msitu wa Virunga wakipambana na wanamgambo wa Mai Mai