Harakati za kuwahamasisha wapiga kura kujiandikisha Kenya
Rais Uhuru Kenyatta atembelea kituo cha kuandikisha wapiga kura mjini Embu
Wakuu wa upinzani CORD wakiwahamasisha wapiga kura Mombasa
Uhuru Kenyatta akiwahamasisha wakazi wa Embu kwenda kujiandikisha
Viongozi wa CORD wakiwahamasisha wapiga kura kujiandikisha Mombasa
Kiongozi wa Cord Odinga pamoja na gavana Kidero wa Nairobi wakianza kampeni ya kuwaandikisha watu
Maafisa wa IEBC wakikagua kitambulisho cha mpigaji kura katika viunga vya Kibera Kenya
Maafisa wa IEBC akichukua kidole cha mpigaji kura akimuandikisha katika viunga vya Kibera Kenya