Raila akaribisha hatua ya Kenyatta kuhusu tume ya IEBC

Uhuru Kenyatta (kulia) na Riala Odinga (kushoto)

Baada ya rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kutangaza kwamba muungano wa kisiasa wa Jubilee umeteua wajumbe kumi na mmoja ili kujadili hatima ya tume ya uchaguzi na mipaka nchini humo IEBC, Kiongozi wa muungano wa upinzani Raila Odinga, aliwahutububia waandishi wa habari mjini Nairobi siku ya Alhamisi. BMJ Muriithi amezungumza na mwandishi wa VOA mjini Nairobi, Moses Wangwa..

Your browser doesn’t support HTML5

Raila speaks about IEBC select Committee