Wakenya mabingwa wa mashindano ya riada duniani 2015
Asbel Kiprop wa Kenya akinyakua ushindi katika mbiyo za mita 1500, huko Beijing 2015
Mkenya Eunice Jepkoech Sum, akisherehekea ushindi wake wa nafasi ya tatu katika mbiyo za mita 800
Almaz Ayana wa Ethopia akielekea kunyakua ushindi wa mita 5000
Mkenya Caleb Mwangangi Ndiku akisherehekea ushindi wake wa fedha nyuma ya Mohammed Farah
Mo Farah, kulia akidihaki na Caleb Mwangangi Ndiku wa Kenya waliposhinda mbiyo za mita 5000
Mo Farah akijipiga picha na mashabiki kwa simu ya mkono
Shelly-Ann Fraser wa Jamaica akipokea kijiti kumaliza mbio za 4x100
Usain Bolt wa Jamaica akiongoza timu yake kwa ushindi wa mbiyo za mita 4x100