Dhulma dhidi ya wanawake lazima zikomeshwe

Wanawake mjini Nairobi waandamana kupinga unyanyasaji

Margaret Kenyatta akamilisha biyo za Beyond Zero siku ya Wanawake Duniani

Wanawake wa Afrika kusini wakiandamana kulani ghasia dhidi yao

Viongozi wa vyama vya wanawake DRC wakitaka wanawake kushirikishwa zaidi katika siasa

Wanawake wanaharakati wa Ufilipino wakionesha mchezo wa kuigiza barabarani unaomulika ukiukaji wa haki za binadam mjini Manila

Wanawake wanaandamana wakilaani dhulma dhidi yao mjini Istanbul Uturuki siku ya Wanawake Duniani. March 8, 2015.

Wanaume wanabeba mabango kutaka kushirikishwa zaidi wanawake katika shughuli za kisiasa na bungeni huko Tbilisi, Georgia, March 8, 2015.

Mwanamke wa kihindi akibeba sufuria kichwani kuuza siku ya Wanawake Duniani India, March 8, 2015.