Ripoti ya Abdushakur Aboud kutoka Ebebiyin

Your browser doesn’t support HTML5

Mwandishi wa Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika Abdulshakur Aboud yuko nchini Equatorial Guinea akiripoti kuhusu fainali za kombe la Afrika 2015 na mengine yanayoendelea kando ya fainali hizo.