Wakenya waandamana kudaia usalama uimarishwe

Polisi wa Kenya wafyetua mabomu ya kutoa machozi dhidi ya waandamanaji Nairobi

គោម​ដែល​មាន​រាង​ផ្កា​ឈូក​ត្រូវ​បាន​បំភ្លឺ​ជាមួយ​ភ្លើង​ពណ៌​អណ្តែត​នៅ​លើ​ទឹក​ក្នុង​ពេល​ប្រារព្ធ​បុណ្យ​វិសាខបូជា នៅ​បឹង Beira នៅ​ក្នុង​ក្រុង​កូឡុំបូ ប្រទេស​ស្រីលង្កា ដើម្បី​ប្រារព្ធ​ថ្ងៃ​ព្រះ​ពុទ្ធ​ប្រសូត ​ត្រាស់​ដឹង និង​ព្រះ​បរិនិព្វាន។

Waandamanaji wakimbia wakiacha majeneza baada ya kufurushwa na Polisi Nairobi

Waandamanaji waweka misalaba mwekundu kuonesha idadi ya walofariki kutokana na ghasia Kenya

Muandamanaji amelalia misalaba iliyopakwa rangi nyekundu kudai usalama zaidi

Waandamanaji wakiimba kudai kuimarishwa kwa usalama na kuondolewa wakuu wa usalama

Waandamanaji wabeba majeneza ikimaanisha wamechoka kuwazika watu walouliwa wasio na hatia