Wakenya waandamana kudaia usalama uimarishwe
Polisi wa Kenya wafyetua mabomu ya kutoa machozi dhidi ya waandamanaji Nairobi
គោមដែលមានរាងផ្កាឈូកត្រូវបានបំភ្លឺជាមួយភ្លើងពណ៌អណ្តែតនៅលើទឹកក្នុងពេលប្រារព្ធបុណ្យវិសាខបូជា នៅបឹង Beira នៅក្នុងក្រុងកូឡុំបូ ប្រទេសស្រីលង្កា ដើម្បីប្រារព្ធថ្ងៃព្រះពុទ្ធប្រសូត ត្រាស់ដឹង និងព្រះបរិនិព្វាន។
Waandamanaji wakimbia wakiacha majeneza baada ya kufurushwa na Polisi Nairobi
Waandamanaji waweka misalaba mwekundu kuonesha idadi ya walofariki kutokana na ghasia Kenya
Muandamanaji amelalia misalaba iliyopakwa rangi nyekundu kudai usalama zaidi
Waandamanaji wakiimba kudai kuimarishwa kwa usalama na kuondolewa wakuu wa usalama
Waandamanaji wabeba majeneza ikimaanisha wamechoka kuwazika watu walouliwa wasio na hatia