Maandamano dhidi ya mauwaji ya Kanali Mamadou Ndala mashariki ya Congo

Wakazi wa mji wa Benni wakiandamana kulaani mauwaji ya Kanali Mamadou Ndala, wanataka uchunguzi ufanyike kwani hawaamini ni waasi ndio walomua.  Jan, 03 2013

Vikosi vya usalama wakiwazuia waandamanaji mjini Benni walokuwa wanadai uchunguzi wa kina katika mauwaji ya Kanali Mamadou Ndala

Wanawake wakiandamana Benni kulalamiika mauwaji ya Kanali Mamadou Ndala Jan, 03 2014

Waandamanaji katika njia kuu ya Beni kulaani mauwaji ya Kanali M. Ndala

Mwandamanaji akilalamika mjini Beni kulaani mauwaji ya Kanali M. Ndala

Colonel Mamadou Ndala akiongozana na wanajeshi wa Kongo kuwasaka wapiganaji wa AFD Nalu

Kanali Mamadou Ndala komanda wa kikosi maalum cha jeshi la  Congo linalowasaka waasi mashariki mwa nchi

Rais Joseph Kabila pamoja na Gavana wa Kivu Kaskazini Julien Paluku mjini Goma

Wanajeshi wa FARDC wakiwa katika msitu wa Virunga wakisubiri katika kuwasaka wapiganaji wa AFDL Nalu

Ndege ya Drone ya Umoja wa Mataifa huko Mashariki ya Congo

Wanajeshi wa jeshi la taifa la Congo waelekea kutayarisha mpango wa kuwashambulia waasi wa AFDL Nalu