Matokeo ya vita mashariki ya DRC

Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa DRC Rodgers Meece(kushoto) Gavana Kivu Kaskazini Julien Paluku

Kifaru cha MONUSCO cha piga doria

Wanajeshi wa MONUSCO kwenye kituo cha ukaguzi.

Wapiganaji wa kundi la UPCP katika kambi ya Lubero

wazir wa ulinzi wa Rwanda awasili Goma kwa mazungumzo na waziri mwenzake wa DRC

wakazi wa Kivu Kaskazini wakimbia vita wakati majeshi ya Umoja wa Mataifa yanza kushambulia vituo vya waasi wa M23.