Katika Picha Hali mashariki ya DR Congo 15 Mei, 2012 Wakazi wa Kichanga wilaya ya Masissi Kivu Kaskazini wasubiri Gavana Paluku Watu wa kijiji cha Kichanga, Wilaya ya Masissi wakimsikiliza Gavana Paluku Kituo cha texi za pikipiki Kichanga wilaya ya Masisi Kivu ya Kaskazini Gavana Julien Palku akizungumza na waandishi habari baada ya kuwatembelea wakimbizi kijijini Kichanga, wilaya ya Masissi Gavana Julien Paluku wa Kivu Kaskazini akizungumza na waandishi habari kijijini Kichanga Wakazi na wakimbizi katika kijiji cha Kichanga masharki ya DRC Gavana Julien Paluku awatembelea wakimbizi kijijini Kichanga wilaya ya Masissi, na kuoneshwa silaha zilizokamatwa za Bosco Ntaanda