Maandamano na vurugu Zanzibar

Polisi wa kupambana na ghasia wakipiga doria katikia mitaa ya Zanzibar kufuatia ghasia za Jumapili Mai 28 2011

Wanaume wakiandamana kutaka kura ya maoni iitishwe kuamua ikiwa Zanzibar ijiondowe kutoka Muungano. Maandamano yaliitishwa na jumuiya ya Uamsho

Wanawake wakiandamana nyuma ya wanaume kudai kura ya maoni iitishwe kuamua ikiwa Zanzibar ijiondowe kutoka Muungano. Maandamano yaliitishwa na jumuiya ya Uamsho

Kanisa lililotiwa moto wakati wa ghasia za Jumapili Mai 27 2012 huko Zanzibar

Gari la Kiongozi wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Bishop Dickoson Maganga lililochomwa moto na watu wasiojulikana Jumamosi usiku Mai 26 2012

Wanawake wakiandamana nyuma ya wanaume kudai kura ya maoni iitishwe kuamua ikiwa Zanzibar ijiondowe kutoka Muungano. Maandamano yaliitishwa na jumuiya ya Uamsho

Maandamano yaliyofanywa na Jumuiya ya Uamsho yamezusha vurugu na uharibifu wa mali huko Zanzibar.