Katika Picha Harakati za uchaguzi za 2011 nchini DRC 28 Novemba, 2011 Polisi wakilinda msafara wa magari ya Etienne Tshisekedi mjini Kinshasa. Etienne Tshisekedi akizuiliwa na polisi kuhudhuria mkutano wake wa hadhara mjini Kinshasa Wanaharakati wa chama cha UDPS walouliwa kwenye makao makuu ya chama Limete, Kinshasa Novemba 27 2011. Polisi wakikabiliana na Tshisekedi mjini Kinshasa Jumamosi tarehe 26 Novemba kumzuia kufanya mkutano wa hadhara. Nembo ya chama cha FARDC Élections 2011 en Kinshasa, RDC