Kuapishwa kwa viongozi wa Tanzania
Rais J. Kikwete akiupungia mkono umati wa watu walohudhuria sherehe za kuapishwa kwake kwenye uwanja wa Uhuru
Jeshi la Tanzania linatoa heshima mbele ya rais J.Kikwete wakati wa sherehe za kuapishwa kwa mhula wa pili
Rais Jakaya Kikwete akikagua gwaride la jeshi la Taifa kabla ya kula kiapo
Wachezaji wa ngoma ya Lizombe ambayo asili yake ni mkoani Ruvuma wakitoa burudani kwenye sherehe za kuapishwa rais
Umati wa watu waloshuhudia kuapishwa kwa rais wa Tanzania kwenye uwanja wa Uhuru
Rais Jakaya Kikwete akila kiapo mbele ya mwanasheria mkuu Augustino Ramadhani kwenye uwanja wa Uhuru
Rais Jakaya Kikwete akitoa hotuba baada ya kuapishwa kwa mhula wa pili
Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe na Rais Joseph Kabila wakati wa sherehe za kuapishwa kwa rais Kikwete kwenye uwanja wa Uhuru
Rais Joseph Kabila wa DRC akimpongeza rais Kikwete baada ya kula kiapo
Umati wa watu walohudhuria sherehe za kuapishwa kwa rais Jakaya Kikwete kwa mhula wa pili
Jaji Frederick Werema akila kiapo mbele ya Rais Jakaya Kikwete mara baada ya kuteuliwa kua Mwanasheria Mkuu wa serikali
Rais J. Kikwete akimkabidhi miongozo ya kazi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema huko Ikulu
Mgombea wa chama cha CUF Profesa Ibrahim Lipumba akimpongeza rais Jakaya KIkwete alipotangazwa mshindi wa uchaguzi wa Oktoba 31 2010
Rais mpya wa Zanzibar Dk. Mohamed Shein, (kulia) akila kiapo mbele ya jaji Mkuu wa Zanzibar Hamid Mahamoud, (kushoto), wakati wa sherehe za kumapisha Amani Stadium Zanzibar
Rais anaeondoka madarakani Zanzibar Amani Karume akimpongeza rais mpya Dk. Mohamed Ali Shein
Rais Jakaya Kikwete akimpongeza Dk Mohamed Shein muda mfupi baada ya kuapishwa Zanzibar
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na mshindi wa pili wa uchaguzi wa rais Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad wakati wa shereha za kuapishwa Rais mpya wa Zanzibar