Picha za uchaguzi wa katikati ya mhula Marekani
Idadi ya wabunge katika mabaraza mawili ya bunge kabla ya uchaguzi wa kati kati ya mhula
Waziri wa kazi wa Marekani Hilda Solis, kushoto, pamoja na Seneta. Barbara Boxer, wa Carlifonia wakiwahimiza wapiga kura kujitokeza kwenda kupiga kura.
Rais wa zamani wa Marekani Bill Clinton akimbeba mtoto akiwa katika kapeni huko Washingtonville, N.Y.
Rand Paul, nyote wa vuguvugu la Tea Party akishinda kiti cha Senet huko Kentucky kwa niaba ya chama cha Republican.
Kituo cha upigaji kura katika maktaba ya Sahara West, Las Vegas
Mpiga kura akifanya uwamuzi wake
John Boehner spika mpya wa baraza la Wawakilishi katika bunge la Marekani
Rais Barack Obama akimaliza kampeni ya uchaguzi huko Chicago
Michelle Obama, mke wa rais Obama akipiga kura huko Chicago.
Rais Barack Obama na mke wake Michelle wakijaribu kuwahamasisha wafuasi wa wagombea Democrates huko Ohio.
Maelfu na maelfu ya mashabiki wahudhuria mkutano wa hadhara ulotayarishwa na wachekeshaji mashuhuri wa marekani Jon Stewart and Stephen Colbert, wiki moja kabla ya uchaguzi wa kati kati ya mhula