Ziara ya Janet Kabila jimboni Oriental DRC

Janet Kabila akizungumza na waandishi habari wakati wa ziara yake jimboni Oriental

Janet Kabila akitowa msaada kwa waathiriwa wa vita katika kijiji cha Uele ya Juu, jimboni Oriental

Janet Kabila akimsaidia mama mmoja aliyepokea msaada kutoka wakfuu ya Laurent Kabila Uele ya Juu jimboni Oriental

Janet Kabila akizungumza na mzee wa kijiji cha Uele ya JUu alipokuwa anatoa msaada kutoka wakfuu ya babake

Wadi ya wagonjwa mahtuti katika hospitali ya Watsa

Jengo la hospitali ya Watsa jimboni Oriental

Wakazi walopoteza makazi yao kutokana na mapigano katika hospitali ya Watsa, jimboni Oriental

Mtaa mmoja katika mji wa Watsa, Oriental nchini DRC

Janet Kabila mkuu wa Wakfuu wa Laurent d. Kabila alitembelea majimbo ya Kivu na Oriental kutowa misaada kwa awathiriwa wa vita na ubakaji.