Katika Picha Ziara ya Janet Kabila jimboni Oriental DRC 2 Juni, 2011 Janet Kabila akizungumza na waandishi habari wakati wa ziara yake jimboni Oriental Janet Kabila akitowa msaada kwa waathiriwa wa vita katika kijiji cha Uele ya Juu, jimboni Oriental Janet Kabila akimsaidia mama mmoja aliyepokea msaada kutoka wakfuu ya Laurent Kabila Uele ya Juu jimboni Oriental Janet Kabila akizungumza na mzee wa kijiji cha Uele ya JUu alipokuwa anatoa msaada kutoka wakfuu ya babake Wadi ya wagonjwa mahtuti katika hospitali ya Watsa Jengo la hospitali ya Watsa jimboni Oriental Wakazi walopoteza makazi yao kutokana na mapigano katika hospitali ya Watsa, jimboni Oriental Mtaa mmoja katika mji wa Watsa, Oriental nchini DRC Janet Kabila mkuu wa Wakfuu wa Laurent d. Kabila alitembelea majimbo ya Kivu na Oriental kutowa misaada kwa awathiriwa wa vita na ubakaji.