Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 21, 2023 Local time: 08:15

Mazungumzo ya mzozo wa Burundi kufanyika Tanzania


Rais wa Ugnad Yoweri Museveni , mpatanishi wa mzozo wa Burundi

Serikali ya Uganda ambayo ni mpatanishi mkuu katika maswala ya Burundi imefichua kwamba uamuzi huo umefikiwa kutokana na hali ya kujikokota kuanza mazungumzo ya kumaliza uhasama wa kisiasa nchini humo, huku maafa makubwa yakiendelea kuripotiwa.

Umoja wa Afrika unatazamiwa kutuma nchini Burundi wanajeshi 5,000 kutoka kikosi chake cha dharura, kutuliza ghasia zinazoendelea nchini humo.

Serikali ya Uganda ambayo ni mpatanishi mkuu katika maswala ya Burundi imefichua kwamba uamuzi huo umefikiwa kutokana na hali ya kujikokota kuanza mazungumzo ya kumaliza uhasama wa kisiasa nchini humo, huku maafa makubwa yakiendelea kuripotiwa.

please wait
Embed

No media source currently available

0:00 0:02:18 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

Mazungumzo sasa yamepangiwa kuanza tarehe 28 mwezi huu, Mjini Arusha nchini Tanzania.

XS
SM
MD
LG