Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 11:05

Maoni juu ya ajali za barabarani Afrika Mashariki


Kutokana na ajali za barabarani kuongezeka katika nchi za Afrika Mashariki baadhi ya wataalam na raia wanatoa maoni yao. Kati yao ni kamanda wa Jeshi la Polisi- usalama barabarani na mkuu wa kitengo cha uchunguzi wa ajali Uganda, Mugisha Patrick, mwandishi wa gazeti la Mwananchi Tanzania, Ephraim Bahem. Pia William Lusige na Alice Wacharo kutoka Kenya wanatoa maoni yao juu ya kujaribu kuepuka ajali hizo katika eneo zima la Afrika mashariki.

please wait

No media source currently available

0:00 0:06:24 0:00

XS
SM
MD
LG