Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Julai 27, 2026 Local time: 13:00

Kenya yachukua hatua kali dhidi ya watengenezaji pombe ya kiyenyeji

Pombe iliyotiwa kemikali, yauwa zaidi ya watu 80

Utengenezaji wa pombe ya Chang'aa karibu na Nairobi Kenya
1/8 Utengenezaji wa pombe ya Chang'aa karibu na Nairobi Kenya
Serikali yachukua hatua kali dhidi ya watengenezaji pombe ya kiyenyeji na maafisa walolazimika kukagua na kudhibiti bishara hiyo.
Wateja wakinywa pombe ya kiyenyeji chang'aa katika eneo inaouzwa huko Kawangware kitongoji moja cha Nairobi, Kenya, June 26, 2005
2/8 Wateja wakinywa pombe ya kiyenyeji chang'aa katika eneo inaouzwa huko Kawangware kitongoji moja cha Nairobi, Kenya, June 26, 2005
Serikali yachukua hatua kali dhidi ya watengenezaji pombe ya kiyenyeji na maafisa walolazimika kukagua na kudhibiti bishara hiyo.
Kenyans consume a locally brewed drink in the Kawangware area, on the outskirts of Nairobi, Kenya, June 26, 2005.
3/8 Kenyans consume a locally brewed drink in the Kawangware area, on the outskirts of Nairobi, Kenya, June 26, 2005.
Serikali yachukua hatua kali dhidi ya watengenezaji pombe ya kiyenyeji na maafisa walolazimika kukagua na kudhibiti bishara hiyo.
First graders take part in a ceremony to mark the start of a school year in Kyic, Ukraine.
4/8 First graders take part in a ceremony to mark the start of a school year in Kyic, Ukraine.
Serikali yachukua hatua kali dhidi ya watengenezaji pombe ya kiyenyeji na maafisa walolazimika kukagua na kudhibiti bishara hiyo.
Mfanyakazi apika pombe ya kiyenyeji Kenya
5/8 Mfanyakazi apika pombe ya kiyenyeji Kenya
Serikali yachukua hatua kali dhidi ya watengenezaji pombe ya kiyenyeji na maafisa walolazimika kukagua na kudhibiti bishara hiyo.
Mtu aliyepoteza uwezo wa kuona baada ya kunywa pombe yenye sumu Kenya
6/8 Mtu aliyepoteza uwezo wa kuona baada ya kunywa pombe yenye sumu Kenya
Serikali yachukua hatua kali dhidi ya watengenezaji pombe ya kiyenyeji na maafisa walolazimika kukagua na kudhibiti bishara hiyo.
Mtu akiwa taabani anabebwa baada ya kunywa pombe iliyotiwa sumu Kenya
7/8 Mtu akiwa taabani anabebwa baada ya kunywa pombe iliyotiwa sumu Kenya
Serikali yachukua hatua kali dhidi ya watengenezaji pombe ya kiyenyeji na maafisa walolazimika kukagua na kudhibiti bishara hiyo.
watu wakinywa pombe ya kiyenyeji katika baa mtaa wa Mishomoroni mjini Mombasa Kenya
8/8 watu wakinywa pombe ya kiyenyeji katika baa mtaa wa Mishomoroni mjini Mombasa Kenya
Serikali yachukua hatua kali dhidi ya watengenezaji pombe ya kiyenyeji na maafisa walolazimika kukagua na kudhibiti bishara hiyo.
Previous slide
Next slide

Serikali ya Kenya ilitangaza Alhamisi hatua kali dhidi ya watumishi wa serikali wanaohusika na kazi za kudhbiti pombe haramu ya kiyeneji na kufunga kampuni kuu ya kupika pombe hiyo nchini humo.

Waziri wa mambo ya ndani Joseph Ole Lenku alitangaza Alhamisi kwamba watumishi 52 wa idara mbali mbali za serikali na wakuu wa Mamlaka ya kudhibiti Ulevi na Madawa ya kulevya NACADA wamesitishwa kazi.

Bw Ole Lenku amesema mkurugenzi mkuu wa NACADA Dr. William Okedi na mkuu wa idara ya kupambana na bidhaa za bandia ndio wanaohusika na kuweka viwango na kanuni za biashara hiyo, lakini inaonekana anaema hawakufanya kazi za na hivyo wamesitishwa kazi.
please wait

No media source currently available

0:00 0:05:34 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

Mwenyekiti wa NACADA John Mututho akizungumza na Sauti ya Amerika Alhamisi amesema ni jambo la kusikitisha na watapeleka maafisa wa afya kote nchini kukagua na kuchunguza biashara ya pombe haramu.

Mnamo muda wa wiki moja karibu watu 81 katika County 6 za Kenya wamefariki kutokana na kunywa pombe iliyotiwa kemikali ya sumu ya Menthanol. Zaidi ya watu 200 wamelazwa hospitali baadhi akipoteza uwezo wa kuona au kupoteza fahamu.
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:31 0:00
Kiungo cha moja kwa moja


Wakizungumza na Sauti ya Amerika kutoka mji wa Naivasha, baadhi ya watumiaji pombe hiyo wanasema wanalazimika kunywa kinywaji hicho cha rahisi kutokana na matatizo ya maisha na kujaribu kusahau matatizo kwa kulewa.
XS
SM
MD
LG