Hii ikiwa ni mara ya kwanza toka iliposimama kufanya hivyo miaka sita iliyopita, katika kipindi ambacho ilitokea kashfa iliyoitwa “deni la kujificha” ikihusisha serikali.
Kutolewa kwa makubaliano hayo kulitangazwa mwishoni mwa mwezi Machi. IMF imesema kwamba fedha hizo zitasaidia kuokoa uchumi, na juhudi zinafanyika kupunguza deni la umma na kudhoofika kwa hali ya kifedha.
Amesema program hiyo inaiwezesha serikali kufanya mipango ya mabadiliko. Mwaka 2016 kulitokea kashfa kubwa ya ubadhirifu wa fedha kiasi cha Euro bilioni mbili.
Facebook Forum