Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Mei 28, 2023 Local time: 08:33

Ban anasubiriwa kwa hamu DRC


Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki Moon katika picha

Wachambuzi pia wamehoji kama kuwepo nchini humio bwana Ban ataweza kutekeleza yale wanayotaka wananchi wa Drc.

Baada ya kumaliza ziara yake Bujumbura , Burundi katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki Moon anatarajiwa kuwasili Drc ambapo wananchi wanamsubiri kwa hamu kubwa.

Wengi wana matarajio kwamba katibu mkuu wa Umoja wa mataifa atamaliza ghasia na uasi ulioharibu taifa hilo.

Ban Ki Moon kutembelea Goma
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:15 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

XS
SM
MD
LG