Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Machi 16, 2025 Local time: 19:05

Berlusconi atimuliwa bungeni


Waziri Mkuu wa zamani wa Italy, Silvio Berlusconi
Waziri Mkuu wa zamani wa Italy, Silvio Berlusconi
Bunge la Italy limemtimua Silvio Berlusconi aliyehudumu kwa mihula mitatu kama Waziri Mkuu lakini tajiri huyo ameapa kuendelea na siasa.

Seneti ilipiga kura wiki hii kumuondoa katika bunge kwa sababu ya kushitakiwa kwa makosa ya kodi.

Berlusconi alihutubia wafuasi wake Jumatano nje ya nyumba yake Romani Palazzo akiwaambia kuwa ni siku ya kuhuzunikia demokrasia lakini akawasihi kuendelea kuitetea demokrasia.
XS
SM
MD
LG