Tanzania ikiwa inasheherekea miaka 50 ya muungano uliounda nchi hiyo wananchi wanafuatilia kwa makini mjadala mkali unaoendelea katika bunge maalum la katiba nchini humo kuhusu hatima ya muungano katika miaka ijayo.
Sauti ya Amerika ilipata nafasi ya kuzungumza na waziri wa nchi ofisi ya rais Zanzibar, Mwinyihaji Makame na naibu wa fedha wa Tanzania Mwigulu ambao walihudhurua sherehe hizo hapa Washington Dc kushiriki katika sherehe za muungano zilizoandaliwa na ubalozi wa Tanzania Washington Dc.
Kusikiliza mahojiano bofya hapa.
Sauti ya Amerika ilipata nafasi ya kuzungumza na waziri wa nchi ofisi ya rais Zanzibar, Mwinyihaji Makame na naibu wa fedha wa Tanzania Mwigulu ambao walihudhurua sherehe hizo hapa Washington Dc kushiriki katika sherehe za muungano zilizoandaliwa na ubalozi wa Tanzania Washington Dc.
Kusikiliza mahojiano bofya hapa.