Jumamosi, Aprili 12, 2025 Local time: 04:02
Marekani na Umoja wa Mataifa zaridhia azma ya Kenya kutuma maafisa wa usalama Haiti
Baada ya serikali ya Kenya kutangaza ina mpango wa kutuma maafisa wa polisi nchini Haiti kusaidia kupambana na uhalifu wa magenge, Marekani na Umoja wa Mataifa zimeunga mkono hatua hiyo.