Jumatatu, Aprili 13, 2026 Local time: 02:25
Usalama unachukua nafasi ya juu miongoni mwa wanigeria wanaojitayarisha kwa uchaguzi mkuu
- Abdushakur Aboud
Karibu wanaigeria milioni 93 wanatarajiwa kushiriki kwenye uchaguzi mkuu ambao Rais Muhamadu Buhari hatoshiriki baada ya kumaliza mihula yake miwili madarakani.