Upatikanaji viungo

Jumatatu, Machi 24, 2025 Local time: 03:48
Jumatatu, Machi 24, 2025 Local time: 03:48

Mamlaka ya usafiri wa anga Marekani imeanza kurejesha shughuli za kawaida za usafiri wa anga baada ya hitilafu kwenye mifumo ya kompyuta

Mamlaka hiyo ya usafiri wa anga Marekani (FAA) ilisema inafuatilia chanzo cha tatizo hilo na waziri wa uchukuzi Pete Buttigieg alieleza suala hilo linafuatiliwa kwa karibu. Huku Rais Joe Biden akiiagiza wizara ya uchukuzi kuripoti moja kwa moja kwake kuhusu hitilafu hiyo iliyotokea


Mamlaka ya usafiri wa anga Marekani imeanza kurejesha shughuli za kawaida za usafiri wa anga baada ya hitilafu kwenye mifumo ya kompyuta
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00
XS
SM
MD
LG