Upatikanaji viungo

Jumamosi, Machi 22, 2025 Local time: 19:30
Jumamosi, Machi 22, 2025 Local time: 19:30

Wanawake na watoto waathirika na ukame Kaskazini Mashariki mwa Kenya

Hali mbaya ya ukame inaathiri wanawake na watoto walio chini ya miaka mitano Kaskazini mashariki mwa Kenya , wanaharajati wanataka serikali kuchukua hatua zaidi ili kuweza kusaidia wanawake hao na watoto ambao wengi wanateseka na utapia mlo.


Wanawake na watoto waathirika na ukame Kaskazini Mashariki mwa Kenya
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00
XS
SM
MD
LG