Upatikanaji viungo

Jumapili, Februari 22, 2026 Local time: 04:12
Jumapili, Februari 22, 2026 Local time: 04:12

Vijana wafaidika na kuimarika kwa sekta ya utalii Tanzania

Vijana ni kati ya makundi yanayofaidika na kuimarika kwa sekta ya utalii katika hifadhi na mbuga za Ngorongoro na Serengeti ambazo zimeendelea kushuhudia ongezeko kubwa la watalii kwa wiki kadhaa mfululizo, hali iliyochangia kwa ongezeko la nafasi za ajira.


Vijana wafaidika na kuimarika kwa sekta ya utalii Tanzania
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00
XS
SM
MD
LG