Upatikanaji viungo

Ijumaa, Aprili 25, 2025 Local time: 14:42
Ijumaa, Aprili 25, 2025 Local time: 14:42

Mashirika ya kiraia DRC yatoa wito kwa Umoja wa Mataifa kulinda raia.

Mashirika ya kiraia huko Jomba wilayani Rutshuru yameomba Umoja wa Mataifa kulazimisha kikosi chake cha MONUSCO kuwalinda wananchi wa Congo na kusaidia jeshi la Congo kuzima uasi wa M23.


Mashirika ya kiraia DRC yatoa wito kwa Umoja wa Mataifa kulinda raia.
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00
XS
SM
MD
LG