Upatikanaji viungo

Jumapili, Februari 22, 2026 Local time: 03:48
Jumapili, Februari 22, 2026 Local time: 03:48

Mashambulizi ya kiholela ya risasi Marekani yaibua mjadala mkali kuhusu haki za umiliki bunduki

Kufuatia mashambulizi ya mwishoni mwa wiki mjini Buffalo, New York, ambapo kijana mzungu anashukiwa kuwaua watu kumi, na kujeruhi watatu, mjadala umeibuka mkali tena kuhusu haki za umiliki bunduki, huku Rais Joe Biden akiyaita ya kibaguzi.


Mashambulizi ya kiholela ya risasi Marekani yaibua mjadala mkali kuhusu haki za umiliki bunduki
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00
XS
SM
MD
LG