Ijumaa, Aprili 18, 2025 Local time: 00:21
Mashambulizi ya kiholela ya risasi Marekani yaibua mjadala mkali kuhusu haki za umiliki bunduki
Kufuatia mashambulizi ya mwishoni mwa wiki mjini Buffalo, New York, ambapo kijana mzungu anashukiwa kuwaua watu kumi, na kujeruhi watatu, mjadala umeibuka mkali tena kuhusu haki za umiliki bunduki, huku Rais Joe Biden akiyaita ya kibaguzi.