Jumapili, Machi 23, 2025 Local time: 13:12
Wadau wa elimu wataka hatua kuchukuliwa kuongeza ufaulu kwa wasichana Kenya
Matokeo ya kidato cha nne Kenya yaonyesha wasichana kuachwa nyuma ikilinganishwa na wavulana. Wasanii waeleza kwa nini hujiingiza katika kampeni za kiserekali na kisiasa jambo ambalo litakiwa kuangaliwa kwa umakini. Maoni yatolewa ili wasichana zaidi wajiingize katika tehama na kuongeza wataalamu.