Ziara ya Biden ya Israel ya kujaribu kutuliza mzozo kati ya Israel na Hamas

Your browser doesn’t support HTML5

Wiki hii tunaangazia mzozo wa Mashariki ya Kati, rais wa Marekani Joe Biden akiwa amerejea Alhamisi asubuhi kwenye uwanja wa ndege wa kijeshi wa Andrews karibu na Washington DC, baada ya ziara fupi nchini Isreal.