Zaidi ya viongozi 100 kuhudhuria mkutano wa Baraza Kuu la UN
Your browser doesn’t support HTML5
Maafisa wa Umoja wa Mataifa wanatarajia zaidi ya viongozi 100 kuhudhuria mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, wakati Marekani ikiwashauri wengine kushiriki kupitia mtandao kuepusha maambukizi ya COVID-19.