Waziri Blinken aendelea na juhudi za kuimarisha amani
Your browser doesn’t support HTML5
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken amekutana na Rais wa Misri Abdel Fattah el-Sisi katika juhudi za kuimarisha suluhu kati ya Israeli na Palestina.