Watoto wa mitaani Nairobi wapata mwokozi

Your browser doesn’t support HTML5

Watoto wa mitaani wapata misaada kujikwamua kimaisha kupitia usimamizi wa Torez Omoll ambaye yeye mwenyewe alipitia maisha ya mitaani na hivi leo anakusanya mısrada kuwasaidia watoto hao.