Wapinzani Kenya kumng’oa Kenyatta

Rais Uhuru Kenyatta

Madai makubwa ya wapinzani ni kuwa Rais Kenyatta ameshindwa kushughulikia masuala ya madai ya waalimu na kadhia ya rushwa ilitokithi nchini humo.

Bunge la Kenya limefunguliwa tena Jumanne alasiri, huku wabunge wa Upinzani wakijiandaa kuwasilisha mswaada maalum wa kutokuwa na Imani na uongozi wa Rais Uhuru Kenyatta.

Madai makubwa ya wapinzani ni kuwa Rais Kenyatta ameshindwa kushughulikia masuala ya madai ya waalimu na kadhia ya rushwa ilitokithi nchini humo.

Itakumbukwa kwamba pamoja na mahakama ya viwanda kuwataka waalimu kurejea kazini nchini humo lakini , chama chjaop kiliwahamasisha kuendelea kubaki nyumbani hadi pale watakapolipwa mishahara yao.

Maelezo zaidi mwansishi wetu Mwai Gikonyo anatuarifu kutoka Nairobi.

Your browser doesn’t support HTML5

Wapinzani kumng'oa Kenyatta