Wanasayansi watafiti ngamia wakihofia ugonjwa hatari mpya
Your browser doesn’t support HTML5
Hifadhi ya asili ya Kapiti iliyoko upande wa kusini wa Kenya, ngamia wanapitia upimaji katika juhudi ya watafiti kuufahamu ugonjwa wa Middle East ambao unatisha zaidi hata pengine kuliko COVID-19.