Mswaada huo unapendekeza pia kuandaliwa kura ya maoni. Endelea kumsikiliza mwandishi wetu akikuletea hali ilivyo katika mitaa ya Lima wakati waandamanaji wakishinikiza kufanyika uchaguzi...
Wananchi wa Peru washinikiza kufanyika uchaguzi, waandamana
Your browser doesn’t support HTML5
Bunge la Peru limekataa mswaada wa tatu uliowasilishwa katika wiki moja ukitaka maandalizi ya uchaguzi wa mapema yafanyike. Wakati huo huo maandamano yanaendelea kote nchini.