Wanaharakati Kenya wajitolea kumaliza ukeketaji
Your browser doesn’t support HTML5
Wanaharakati Kenya wajiunga katika msukumo wa serikali kumaliza ukeketaji (FGM) wakati takwimu zikionyesha idadi ya kesi za FGM ziliongezeka katika jamii za Kisomali wakati wa janga la corona.