Wamarekani waridhika Chauvin kupatikana na hatia
Your browser doesn’t support HTML5
Wamarekani wanaeleza kuridhika na kufurahia uwamuzi wa baraza la mahakama wa kumpata na hatia afisa wa zamani wa polisi Derek Chauvin na hatia ya mauwaji ya mmarekani mweusi George Floyd mjini Minneapolis.