Wakimbizi hao waliandamana wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe wa amani huku wakipaza sauti kusisitiza amani...
Wakimbizi wa DRC nchini Kenya wasisitiza serikali yao kuimarisha amani
Your browser doesn’t support HTML5
Wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanaitaka serikali yao kuimarisha usalama ili waweze kurejea nyumbani.