Wakimbizi Ugiriki wakabiliwa na janga la moto na COVID-19

Your browser doesn’t support HTML5

Moto uliozuka katika kambi ya wakimbizi kwenye kisiwa cha Ugiriki cha Lesbos, Jumatano, Septemba 9, na kuwalazimisha maelfu kuhama makazi yao ya muda.
Moto huo uliteketeza sehemu kubwa ya kambi kubwa zaidi kuliko zote ya wakimbizi nchini Ugiriki mapema Jumatano, na kuwahamisha maelfu ya wakimbizi na wanaoomba hitachi wakati kuna mlipuko wa COVID-19 katika kambi mote.