Wakazi Tanzania waeleza tatizo la maji na umeme linavyoathiri uchumi
Your browser doesn’t support HTML5
Tatizo la maji na umeme linaloikabili Tanzania linaelezwa kuchangiwa na ukame uliyoikumba eneo kubwa la Afrika Mashariki na wakazi nchini Tanzania wanaeleza linavyoathiri shughuli za uzalishaji.