Chama hicho kilianzishwa na muasisi mwenza, ambaye hivi sasa yuko kizuizini, Aung San Suu Kyi.
Wafuasi wa Aung San Suu Kyi waandaman Myanmar
Your browser doesn’t support HTML5
Mji wa pwani wa Myanmar, Dawei, umeshuhudia waandamanaji wakipita na bendera za chama cha National League for Democracy kilichopinduliwa na jeshi.