Wademokrat na Warepublikan waungana kumfungulia mashtaka Trump
Your browser doesn’t support HTML5
Wawakilishi kutoka pande mbili za Wademokrat na Warepublikan waungana kumfungulia mashtaka Rais Donald Trump wakimtuhumu kwa uchochezi uliopelekea wafuasi wake kuvamia Bunge la Marekani.