Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari
Waasi wa M23 wakubali kuondoka maeneo wanayokalia mashariki ya DRC
Your browser doesn’t support HTML5
Kundi la waasi wa M23 limesema limekubali kuachana na maeneo waliokuwa wanayakalia kwa mabavu katika eneo linalomilikiwa na serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.