Waandamanaji wavunja masanamu na alama za kibaguzi Marekani

Your browser doesn’t support HTML5

Wakati maandamano ya kulaani kifo cha George Floyd aliyekuwa akishikiliwa na polisi yakipungua kasi bado dhamira ya waandamanji iko palepale kuleta mageuzi ya sheria kandamizi na polisi kuwajibishwa.