Waandamanaji wapambana na polisi mjini Nairobi
Your browser doesn’t support HTML5
Darzeni za waandamanaji wenye ghadhabu wamepambana na polisi katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, Jumatano, wakitaka amri ya kutotoka nje iondolewe na kusitishwa kwa masharti mengine yaliyowekewa na serikali.