Waandamanaji wajeruhiwa Eswatini
Your browser doesn’t support HTML5
Mkuu wa chama cha wafanyakazi cha Eswatini Oscar Nkambule amesema takriban watu 80 wamejeruhiwa Jumatano wakati wa maandamano ya kuitisha demokrasia yanayoendelea nchini humo.
Your browser doesn’t support HTML5