Waalimu waandamana Uingereza, wadai wamechoshwa hawawezi kuendelea na kazi

Your browser doesn’t support HTML5

Mgomo mkubwa ulifanyika nchini Uingereza ikihusisha makundi mbalimbali ya wafanyakazi wakiwemo watumishi waandamizi wa serikali na wafanyakazi wa huduma ya reli. Waalimu ni mara ya kwanza wamejiunga na mgomo.

- Wafanyakazi hao wameandamana wakishinikiza serikali kuwaongeza mshahara na kutengeneza mazingira bora zaidi ya kazi.